Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waroma—Yaliyomo

      • Toeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai (1, 2)

      • Zawadi mbalimbali lakini mwili mmoja (3-8)

      • Ushauri kuhusu maisha ya Wakristo wa kweli (9-21)

Waroma 12:1

Marejeo

  • +Ro 6:13
  • +2Ko 7:1; 1Pe 1:15
  • +2Ti 1:7

Waroma 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

Marejeo

  • +Efe 4:23, 24
  • +1Ti 4:15

Waroma 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alivyomgawia.”

Marejeo

  • +Met 16:18; Gal 6:3; 1Pe 5:5
  • +Efe 2:8

Waroma 12:4

Marejeo

  • +1Ko 12:12

Waroma 12:5

Marejeo

  • +1Ko 12:25

Waroma 12:6

Marejeo

  • +Efe 3:7

Waroma 12:7

Marejeo

  • +1Ti 5:17; 1Pe 4:10, 11

Waroma 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayehimiza.”

  • *

    Au “ahimize.”

  • *

    Au “anayechangia.”

  • *

    Au “anayeongoza.”

  • *

    Au “juhudi.”

Marejeo

  • +2Ti 4:2
  • +Kum 15:11; 2Ko 8:2
  • +1Th 5:12; 1Pe 5:2
  • +Efe 4:32

Waroma 12:9

Marejeo

  • +1Ti 1:5; Yak 3:17; 1Pe 1:22
  • +Zb 97:10; Met 8:13

Waroma 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “chukueni hatua ya kwanza.”

Marejeo

  • +Flp 2:3

Waroma 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jitihada.”

  • *

    Au “msiwe wavivu katika kazi zenu.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Met 13:4
  • +Mdo 18:24, 25
  • +Ro 6:22

Waroma 12:12

Marejeo

  • +Mdo 14:22
  • +Flp 4:6; 1Th 5:17

Waroma 12:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “iweni wakarimu.”

Marejeo

  • +Met 3:27; 1Yo 3:17
  • +1Pe 4:9; 3Yo 8

Waroma 12:14

Marejeo

  • +Mt 5:44; Lu 6:27, 28
  • +Yak 3:9, 10

Waroma 12:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msifikirie makuu.”

Marejeo

  • +Lu 14:10; 22:24-26; Yoh 13:14; Flp 2:3
  • +Ayu 37:24; Met 3:7

Waroma 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “machoni pa.”

Marejeo

  • +1Th 5:15; 1Pe 2:23; 3:9

Waroma 12:18

Marejeo

  • +2Ti 2:24; Ebr 12:14; Yak 3:18

Waroma 12:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ghadhabu ya Mungu.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Law 19:18; Mt 5:39
  • +Kum 32:35; Ebr 10:30

Waroma 12:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kupunguza uadui wake na kuyeyusha ugumu wake.

Marejeo

  • +Met 25:21, 22

Waroma 12:21

Marejeo

  • +Kut 23:4; Mt 5:44; Lu 6:27

Jumla

Rom. 12:1Ro 6:13
Rom. 12:12Ko 7:1; 1Pe 1:15
Rom. 12:12Ti 1:7
Rom. 12:2Efe 4:23, 24
Rom. 12:21Ti 4:15
Rom. 12:3Met 16:18; Gal 6:3; 1Pe 5:5
Rom. 12:3Efe 2:8
Rom. 12:41Ko 12:12
Rom. 12:51Ko 12:25
Rom. 12:6Efe 3:7
Rom. 12:71Ti 5:17; 1Pe 4:10, 11
Rom. 12:82Ti 4:2
Rom. 12:8Kum 15:11; 2Ko 8:2
Rom. 12:81Th 5:12; 1Pe 5:2
Rom. 12:8Efe 4:32
Rom. 12:91Ti 1:5; Yak 3:17; 1Pe 1:22
Rom. 12:9Zb 97:10; Met 8:13
Rom. 12:10Flp 2:3
Rom. 12:11Met 13:4
Rom. 12:11Mdo 18:24, 25
Rom. 12:11Ro 6:22
Rom. 12:12Mdo 14:22
Rom. 12:12Flp 4:6; 1Th 5:17
Rom. 12:13Met 3:27; 1Yo 3:17
Rom. 12:131Pe 4:9; 3Yo 8
Rom. 12:14Mt 5:44; Lu 6:27, 28
Rom. 12:14Yak 3:9, 10
Rom. 12:16Lu 14:10; 22:24-26; Yoh 13:14; Flp 2:3
Rom. 12:16Ayu 37:24; Met 3:7
Rom. 12:171Th 5:15; 1Pe 2:23; 3:9
Rom. 12:182Ti 2:24; Ebr 12:14; Yak 3:18
Rom. 12:19Law 19:18; Mt 5:39
Rom. 12:19Kum 32:35; Ebr 10:30
Rom. 12:20Met 25:21, 22
Rom. 12:21Kut 23:4; Mt 5:44; Lu 6:27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waroma 12:1-21

Kwa Waroma

12 Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ 2 Na acheni kufinyangwa na mfumo huu wa mambo,* bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.

3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa ninamwambia kila mtu kati yenu asijifikirie mwenyewe kuliko ilivyo lazima kufikiri,+ bali afikiri ili awe na akili timamu, kila mmoja kama Mungu alivyompa* kipimo cha imani.+ 4 Kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja,+ lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na Kristo, lakini kila mmoja wetu ni kiungo cha mwingine.+ 6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana kulingana na fadhili zisizostahiliwa tulizopewa,+ kama ni ya unabii, na tutoe unabii kulingana na imani yetu; 7 au kama ni ya huduma, na tuwe katika huduma hii; au yule anayefundisha, na aendelee kufundisha;+ 8 au yule anayetia moyo,* na atie moyo;*+ yule anayegawa,* na afanye hivyo kwa ukarimu;+ yule anayesimamia,* na afanye hivyo kwa bidii;*+ yule anayeonyesha rehema, na afanye hivyo kwa uchangamfu.+

9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema. 10 Katika upendo wa kindugu iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza.*+ 11 Iweni wenye bidii,* msiwe wavivu.*+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.*+ 12 Shangilieni katika tumaini. Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Iweni wakaribishaji wageni.*+ 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki msiwe mkilaani.+ 15 Shangilieni na wale wanaoshangilia; lieni na wale wanaolia. 16 Wafikirieni wengine kama mnavyojifikiria; msikazie akili zenu kwenye mambo makuu,* bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe.+

17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote. 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, fanyeni amani na watu wote.+ 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+ 20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe; kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake.”*+ 21 Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki