Hesabu 24:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Na Edomu itamilikiwa,+Naam, Seiri+ itamilikiwa na maadui wake,+Huku Israeli ikidhihirisha ujasiri wake. 2 Samweli 8:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika nchi yote ya Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+
18 Na Edomu itamilikiwa,+Naam, Seiri+ itamilikiwa na maadui wake,+Huku Israeli ikidhihirisha ujasiri wake.
14 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu. Aliweka kambi za kijeshi katika nchi yote ya Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+