Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+

  • Kumbukumbu la Torati 1:43
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 43 Basi nikaongea nanyi, lakini hamkusikiliza. Badala yake, mliasi agizo la Yehova na kujaribu kwa kimbelembele kupanda mlimani.

  • Kumbukumbu la Torati 31:27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 27 Kwa maana mimi mwenyewe najua vizuri uasi wenu+ na ukaidi wenu.*+ Ikiwa mmekuwa mkimwasi sana Yehova ningali hai pamoja nanyi, basi mtamwasi kadiri gani nikifa?

  • 2 Wafalme 17:13, 14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Ezekieli 20:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Niliwaambia wana wao nyikani,+ ‘Msitembee katika masharti ya mababu zenu+ wala kushika hukumu zao wala kujichafua kwa sanamu zao zinazochukiza.

  • Matendo 7:51
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki