-
1 Samweli 2:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Msiendelee kuzungumza kwa kiburi;
Neno lolote la majivuno lisitoke vinywani mwenu,
Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+
Naye hupima matendo kwa njia ya haki.
-
-
Ezekieli 28:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Mwana wa binadamu, mwambie kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
“Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.
Ninaketi kwenye kiti cha ufalme cha mungu katikati ya bahari.’+
Lakini wewe ni mwanadamu tu, wewe si mungu,
Ingawa moyoni mwako unahisi kwamba wewe ni mungu.
-