-
Zaburi 34:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.
Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+
-
-
Isaya 66:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,
Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+
-