5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
34 Kisha umati ukamwambia: “Tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele.+ Kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”
16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+