Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Utawala wa amani wa mfalme aliyewekwa na Mungu

        • “Mwadilifu atasitawi” (7)

        • Raia kutoka bahari mpaka bahari (8)

        • Kuokolewa kutoka katika ukatili (14)

        • Nafaka itakuwa nyingi duniani (16)

        • Jina la Mungu lasifiwa milele (19)

Zaburi 72:1

Marejeo

  • +1Nya 22:11, 12; 29:19; Yer 23:5

Zaburi 72:2

Marejeo

  • +1Fa 3:9, 28

Zaburi 72:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “awahukumu.”

  • *

    Au “wana.”

Marejeo

  • +Isa 11:4

Zaburi 72:5

Marejeo

  • +Zb 89:36, 37; Lu 1:32, 33; Ufu 11:15

Zaburi 72:6

Marejeo

  • +2Sa 23:3, 4; Met 16:15; 19:12

Zaburi 72:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atachipuka.”

Marejeo

  • +Isa 61:11
  • +1Fa 4:25; 1Nya 22:9; Isa 2:4; 9:6

Zaburi 72:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atatawala.”

Marejeo

  • +Kut 23:31; 1Fa 4:21; Zb 2:8; 22:27, 28; Da 2:35; Zek 9:10

Zaburi 72:9

Marejeo

  • +Zb 2:9; 110:1

Zaburi 72:10

Marejeo

  • +1Fa 4:21
  • +1Fa 10:1, 2

Zaburi 72:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi za.”

Zaburi 72:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atazikomboa nafsi zao.”

Zaburi 72:15

Marejeo

  • +1Fa 10:10

Zaburi 72:16

Marejeo

  • +Isa 30:23
  • +Isa 35:1, 2
  • +1Fa 4:20

Zaburi 72:17

Marejeo

  • +Zb 45:17; 89:35, 36
  • +Mwa 22:18; Gal 3:14

Zaburi 72:18

Marejeo

  • +1Nya 29:10
  • +Kut 15:11

Zaburi 72:19

Marejeo

  • +Ufu 5:13
  • +Hes 14:21; Hab 2:14

Zaburi 72:20

Marejeo

  • +1Sa 17:58

Jumla

Zab. 72:11Nya 22:11, 12; 29:19; Yer 23:5
Zab. 72:21Fa 3:9, 28
Zab. 72:4Isa 11:4
Zab. 72:5Zb 89:36, 37; Lu 1:32, 33; Ufu 11:15
Zab. 72:62Sa 23:3, 4; Met 16:15; 19:12
Zab. 72:7Isa 61:11
Zab. 72:71Fa 4:25; 1Nya 22:9; Isa 2:4; 9:6
Zab. 72:8Kut 23:31; 1Fa 4:21; Zb 2:8; 22:27, 28; Da 2:35; Zek 9:10
Zab. 72:9Zb 2:9; 110:1
Zab. 72:101Fa 4:21
Zab. 72:101Fa 10:1, 2
Zab. 72:151Fa 10:10
Zab. 72:16Isa 30:23
Zab. 72:16Isa 35:1, 2
Zab. 72:161Fa 4:20
Zab. 72:17Zb 45:17; 89:35, 36
Zab. 72:17Mwa 22:18; Gal 3:14
Zab. 72:181Nya 29:10
Zab. 72:18Kut 15:11
Zab. 72:19Ufu 5:13
Zab. 72:19Hes 14:21; Hab 2:14
Zab. 72:201Sa 17:58
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 72:1-20

Zaburi

Zaburi Inayomhusu Sulemani.

72 Ee Mungu, mpe mfalme hukumu zako,

Na umzawadie mwana wa mfalme uadilifu wako.+

 2 Na atetee kesi ya watu wako kwa uadilifu,

Na ya watu wako wa hali ya chini kwa haki.+

 3 Milima na iwaletee watu amani,

Na vilima vilete uadilifu.

 4 Na awalinde* watu wa hali ya chini miongoni mwa mataifa,

Na awaokoe watoto* wa mtu maskini,

Na amponde mpunjaji.+

 5 Watakuogopa maadamu jua lipo

Na maadamu mwezi unadumu,

Kizazi baada ya kizazi.+

 6 Atakuwa kama mvua inayonyeshea majani yaliyofyekwa,

Kama manyunyu ya mvua yanayoinywesha dunia.+

 7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi,*+

Na amani itakuwa nyingi+ mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.

 8 Atakuwa na raia* kutoka bahari mpaka bahari

Na kutoka Mto Efrati mpaka kwenye miisho ya dunia.+

 9 Wakaaji wa jangwani watainama chini mbele yake,

Na maadui wake wataramba mavumbi.+

10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa watalipa ushuru.+

Wafalme wa Sheba na wa Seba watatoa zawadi.+

11 Wafalme wote watainama chini mbele yake,

Na mataifa yote yatamtumikia.

12 Kwa maana atamwokoa maskini anayelilia msaada,

Pia mtu wa hali ya chini na yeyote ambaye hana msaidizi.

13 Atamhurumia mtu wa hali ya chini na maskini,

Naye ataokoa uhai wa* maskini.

14 Atawaokoa* kutoka katika ukandamizaji na ukatili,

Na damu yao itakuwa na thamani machoni pake.

15 Na aishi na kupewa dhahabu ya Sheba.+

Sala na zitolewe daima kwa ajili yake,

Na abarikiwe mchana kutwa.

16 Kutakuwa na nafaka nyingi duniani;+

Itafurika juu ya milima.

Matunda yake yatasitawi kama ya Lebanoni,+

Na katika majiji watu watachanua kama mimea ya dunia.+

17 Jina lake na lidumu milele,+

Na lisitawi maadamu jua lipo.

Watu na wajipatie baraka kupitia yeye;+

Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.

18 Na asifiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+

Ambaye peke yake hutenda mambo yanayostaajabisha.+

19 Jina lake tukufu na lisifiwe milele,+

Na utukufu wake ujae duniani pote.+

Amina na Amina.

20 Huo ndio mwisho wa sala za Daudi, mwana wa Yese.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki