Mwanzo 3:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Ayubu 34:14, 15 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Akiwakazia fikira,*Akijikusanyia roho yao na pumzi yao,+15 Wanadamu wote wataangamia* pamoja,Nao watarudi mavumbini.+ Zaburi 146:3, 4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 3:19, 20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mhubiri 12:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+
19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
14 Akiwakazia fikira,*Akijikusanyia roho yao na pumzi yao,+15 Wanadamu wote wataangamia* pamoja,Nao watarudi mavumbini.+
3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+