Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mtumaini Mungu, si wanadamu

        • Mawazo ya mwanadamu hupotea anapokufa (4)

        • Mungu huwainua juu walioinama chini (8)

Zaburi 146:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Ufu 19:6
  • +Zb 103:1

Zaburi 146:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitampigia muziki.”

Zaburi 146:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “viongozi.”

Marejeo

  • +Zb 62:9; 118:8, 9; Isa 2:22; Yer 17:5

Zaburi 146:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Pumzi.”

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Zb 104:29; Mhu 3:20; 12:7
  • +Mhu 9:5, 10; Isa 38:18

Zaburi 146:5

Marejeo

  • +Zb 46:7
  • +Zb 71:5; Yer 17:7

Zaburi 146:6

Marejeo

  • +Mdo 4:24; Ufu 14:7
  • +Kum 7:9

Zaburi 146:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate.”

  • *

    Tnn., “waliofungwa.”

Marejeo

  • +Zb 107:9; 145:16
  • +Zb 107:14; 142:7

Zaburi 146:8

Marejeo

  • +Isa 29:18; 35:5
  • +Zb 145:14; 2Ko 7:6

Zaburi 146:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huipotosha njia ya waovu.”

Marejeo

  • +Kum 10:18; Zb 68:5
  • +Zb 145:20

Zaburi 146:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Kut 15:18; Da 6:26; Ufu 11:15

Jumla

Zab. 146:1Ufu 19:6
Zab. 146:1Zb 103:1
Zab. 146:3Zb 62:9; 118:8, 9; Isa 2:22; Yer 17:5
Zab. 146:4Mwa 3:19; Zb 104:29; Mhu 3:20; 12:7
Zab. 146:4Mhu 9:5, 10; Isa 38:18
Zab. 146:5Zb 46:7
Zab. 146:5Zb 71:5; Yer 17:7
Zab. 146:6Mdo 4:24; Ufu 14:7
Zab. 146:6Kum 7:9
Zab. 146:7Zb 107:9; 145:16
Zab. 146:7Zb 107:14; 142:7
Zab. 146:8Isa 29:18; 35:5
Zab. 146:8Zb 145:14; 2Ko 7:6
Zab. 146:9Kum 10:18; Zb 68:5
Zab. 146:9Zb 145:20
Zab. 146:10Kut 15:18; Da 6:26; Ufu 11:15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 146:1-10

Zaburi

146 Msifuni Yah!*+

Nafsi yangu yote na imsifu Yehova.+

 2 Nitamsifu Yehova maisha yangu yote.

Nitamwimbia sifa* Mungu wangu maadamu ninaishi.

 3 Msiwatumaini wakuu*

Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+

 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+

Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+

 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+

Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+

 6 Muumba wa mbingu na dunia,

Wa bahari, na vyote vilivyomo,+

Yeye ambaye ni mwaminifu daima,+

 7 Yeye anayetekeleza haki kwa ajili ya waliopunjwa,

Yeye anayewapa chakula* wenye njaa.+

Yehova anawaachilia huru wafungwa.*+

 8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+

Yehova anawainua juu wale walioinama chini;+

Yehova anawapenda waadilifu.

 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;

Humtegemeza yatima na mjane,+

Lakini huivuruga mipango ya waovu.*+

10 Yehova atakuwa Mfalme milele,+

Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi baada ya kizazi.

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki