Ayubu 28:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+ Methali 1:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+ Mhubiri 12:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+