- 
	                        
            
            1 Wakorintho 3:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        11 Kwa maana hakuna mtu yeyote anayeweza kuweka msingi mwingine wowote zaidi ya ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+ 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            1 Petro 2:4-7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        4 Mkimjia yeye, jiwe lililo hai lililokataliwa na wanadamu+ bali lililochaguliwa na lenye thamani kwa Mungu,+ 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi muwe ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+ 6 Kwa maana Andiko linasema: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi lenye thamani, na yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa kamwe.”*+ 7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni”*+ 
 
-