Zaburi 19:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Methali 1:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 1 Methali za Sulemani+ mwana wa Daudi,+ mfalme wa Israeli:+ Methali 1:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Ili kumfanya mjinga awe mwerevu;+Ili kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikiri.+ 2 Timotheo 3:15 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+