Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Timotheo 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Timotheo—Yaliyomo

      • Nyakati hatari katika siku za mwisho (1-7)

      • Fuata mfano wa Paulo kwa ukaribu (8-13)

      • “Endelea kufuata mambo uliyojifunza” (14-17)

        • Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu (16)

2 Timotheo 3:1

Marejeo

  • +Mt 24:3; 1Ti 4:1; 2Pe 3:3; Yud 17, 18

2 Timotheo 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasiojidhibiti.”

2 Timotheo 3:5

Marejeo

  • +Mt 7:15, 22, 23

2 Timotheo 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ujinga.”

Marejeo

  • +Kut 7:11, 12; 9:11

2 Timotheo 3:10

Marejeo

  • +1Ko 4:17; 2Ti 1:13

2 Timotheo 3:11

Marejeo

  • +Mdo 13:50
  • +Mdo 14:1, 5, 6
  • +Mdo 14:19
  • +2Ko 1:10

2 Timotheo 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 16:24; Yoh 15:20; Mdo 14:22

2 Timotheo 3:13

Marejeo

  • +2Th 2:11; 1Ti 4:1

2 Timotheo 3:14

Marejeo

  • +2Ti 1:13

2 Timotheo 3:15

Marejeo

  • +Met 22:6
  • +Mdo 16:1, 2
  • +Yoh 5:39

2 Timotheo 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kurekebisha.”

Marejeo

  • +Yoh 14:26; 2Pe 1:21
  • +Ro 15:4
  • +1Ko 10:11

Jumla

2 Tim. 3:1Mt 24:3; 1Ti 4:1; 2Pe 3:3; Yud 17, 18
2 Tim. 3:5Mt 7:15, 22, 23
2 Tim. 3:9Kut 7:11, 12; 9:11
2 Tim. 3:101Ko 4:17; 2Ti 1:13
2 Tim. 3:11Mdo 13:50
2 Tim. 3:11Mdo 14:1, 5, 6
2 Tim. 3:11Mdo 14:19
2 Tim. 3:112Ko 1:10
2 Tim. 3:12Mt 16:24; Yoh 15:20; Mdo 14:22
2 Tim. 3:132Th 2:11; 1Ti 4:1
2 Tim. 3:142Ti 1:13
2 Tim. 3:15Met 22:6
2 Tim. 3:15Mdo 16:1, 2
2 Tim. 3:15Yoh 5:39
2 Tim. 3:16Yoh 14:26; 2Pe 1:21
2 Tim. 3:16Ro 15:4
2 Tim. 3:161Ko 10:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Timotheo 3:1-17

Barua ya Pili kwa Timotheo

3 Lakini ujue jambo hili, kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo. 2 Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, wenye kujidai, wenye majivuno, wakufuru, wasiotii wazazi, wasio na shukrani, wasio washikamanifu, 3 wasio na upendo wa asili, wasiotaka makubaliano yoyote, wachongezi, wasiojizuia,* wakali, wasiopenda wema, 4 wasaliti, wenye vichwa vigumu, waliojaa kiburi, wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu, 5 wakionekana kama watu wanaomwogopa Mungu lakini wakizikana nguvu zake;+ nawe jiepushe nao. 6 Kutoka miongoni mwao huinuka watu wanaoingia kwa ujanja katika nyumba na kuwachukua mateka wanawake walio dhaifu ambao wamelemewa na mizigo ya dhambi, wakiongozwa na tamaa mbalimbali, 7 wakijifunza sikuzote lakini hawawezi kamwe kupata ujuzi sahihi wa kweli.

8 Basi kama vile Yane na Yambre walivyompinga Musa, vivyo hivyo hawa pia wanaendelea kuipinga kweli. Watu hao wamepotoshwa akili kabisa, wakiwa wamekataliwa kuhusiana na imani. 9 Hata hivyo, hawatafanya maendeleo zaidi, kwa maana upumbavu* wao utakuwa wazi kwa watu wote, kama ilivyokuwa kwa watu hao wawili.+ 10 Lakini wewe umefuata kwa ukaribu fundisho langu, mwendo wangu wa maisha,+ kusudi langu, imani yangu, subira yangu, upendo wangu, uvumilivu wangu, 11 mateso na shida kama zile nilizopata huko Antiokia,+ Ikoniamu,+ na Listra.+ Nilivumilia mateso hayo, naye Bwana aliniokoa kutoka katika hayo yote.+ 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+ 13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+

14 Hata hivyo, endelea kufuata mambo uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani, 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu,+ ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima ili upate wokovu kupitia imani katika Kristo Yesu.+ 16 Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia, kwa kunyoosha* mambo, kwa kutia nidhamu katika uadilifu,+ 17 ili mtu wa Mungu awe na uwezo kamili, akiwa na vifaa kamili kwa ajili ya kila kazi njema.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki