-
Hesabu 6:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Yehova na awaangazie nuru ya uso wake,+ na kuwapa kibali chake.
-
-
Zaburi 4:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Kuna wengi wanaosema: “Ni nani atakayetuonyesha jambo lolote jema?”
Acha nuru ya uso wako ituangazie, Ee Yehova.+
-