-
Zaburi 101:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Hakuna mtu yeyote mdanganyifu atakayekaa katika nyumba yangu,
Na hakuna mwongo atakayesimama mbele yangu.*
-
-
Zaburi 119:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Niondolee njia ya udanganyifu,+
Na unionyeshe kibali kwa kunipa sheria yako.
-