Zaburi 150:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Msifuni kwa kazi zake zenye nguvu.+ Msifuni kwa ukuu wake usio na kifani.+ Waroma 1:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Ufunuo 15:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+