Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Malaika saba wakiwa na mapigo saba (1-8)

        • Wimbo wa Musa na wa Mwanakondoo (3, 4)

Ufunuo 15:1

Marejeo

  • +Ufu 16:1
  • +Ufu 16:17

Ufunuo 15:2

Marejeo

  • +1Fa 7:23; Ufu 4:6
  • +Ufu 2:7
  • +Ufu 13:15
  • +Ufu 13:18

Ufunuo 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kut 15:1; Kum 31:30
  • +Yoh 1:29
  • +Kut 15:11; Zb 111:2; 139:14
  • +Kut 6:3
  • +Kum 32:4; Zb 145:17
  • +Yer 10:10; 1Ti 1:17

Ufunuo 15:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Yer 10:6, 7
  • +Zb 86:9; Mal 1:11

Ufunuo 15:5

Marejeo

  • +Mdo 7:44; Ebr 8:1, 2; 9:11
  • +Ufu 11:19

Ufunuo 15:6

Marejeo

  • +Ufu 15:1

Ufunuo 15:7

Marejeo

  • +Zb 75:8; Yer 25:15; Ufu 14:9, 10

Ufunuo 15:8

Marejeo

  • +Kut 40:34, 35; 1Fa 8:10, 11; Isa 6:4; Eze 44:4
  • +Ufu 15:1

Jumla

Ufu. 15:1Ufu 16:1
Ufu. 15:1Ufu 16:17
Ufu. 15:21Fa 7:23; Ufu 4:6
Ufu. 15:2Ufu 2:7
Ufu. 15:2Ufu 13:15
Ufu. 15:2Ufu 13:18
Ufu. 15:3Kut 15:1; Kum 31:30
Ufu. 15:3Yoh 1:29
Ufu. 15:3Kut 15:11; Zb 111:2; 139:14
Ufu. 15:3Kut 6:3
Ufu. 15:3Kum 32:4; Zb 145:17
Ufu. 15:3Yer 10:10; 1Ti 1:17
Ufu. 15:4Yer 10:6, 7
Ufu. 15:4Zb 86:9; Mal 1:11
Ufu. 15:5Mdo 7:44; Ebr 8:1, 2; 9:11
Ufu. 15:5Ufu 11:19
Ufu. 15:6Ufu 15:1
Ufu. 15:7Zb 75:8; Yer 25:15; Ufu 14:9, 10
Ufu. 15:8Kut 40:34, 35; 1Fa 8:10, 11; Isa 6:4; Eze 44:4
Ufu. 15:8Ufu 15:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 15:1-8

Ufunuo kwa Yohana

15 Nami nikaona huko mbinguni ishara nyingine kubwa na ya ajabu sana, malaika saba+ wenye mapigo saba. Hayo ndiyo ya mwisho, kwa sababu kupitia hayo hasira ya Mungu inamalizika.+

2 Nami nikaona kitu kama bahari ya kioo+ iliyochanganyika na moto, na wale wanaomshinda+ yule mnyama wa mwituni na sanamu yake+ na ile namba ya jina lake+ walikuwa wamesimama kando ya ile bahari ya kioo, wakiwa wameshika vinubi vya Mungu. 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema:

“Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+ 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”

5 Baada ya hayo nikaona, patakatifu pa hema la ushahidi+ pakifunguliwa mbinguni,+ 6 na wale malaika saba wenye mapigo saba+ wakatokea katika patakatifu, wakiwa wamevaa kitani safi, kinachong’aa na wakiwa wamefunga mishipi ya dhahabu kifuani. 7 Mmoja wa wale viumbe hai wanne akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa hasira ya Mungu,+ anayeishi milele na milele. 8 Na patakatifu pakajaa moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia patakatifu mpaka yale mapigo saba+ ya wale malaika saba yalipomalizika.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki