Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  3 Yehova ni shujaa mwenye nguvu.+ Yehova ndilo jina lake.+

  • 1 Samweli 17:47
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 47 Na watu wote waliokusanyika hapa watajua* kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi nyote mikononi mwetu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Akasema: “Sikilizeni kwa makini, enyi watu wote wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Yehova anawaambia hivi: ‘Msiogope wala msihofu kwa sababu ya umati huu mkubwa, kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • Isaya 42:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Yehova atatoka kama mwanamume hodari.+

      Ataamsha bidii yake kama shujaa.+

      Atapaza sauti, naam, atapiga kelele za vita;

      Ataonyesha kwamba ana nguvu kuliko maadui wake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki