-
Zaburi 143:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Ee Yehova, nihifadhi hai kwa ajili ya jina lako.
Katika uadilifu wako, niokoe kutoka katika taabu.+
-
-
Ezekieli 36:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 “Kwa hiyo, waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelichafua miongoni mwa mataifa ambako mlienda.”’+
-