-
Zaburi 12:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Yehova ataikata kabisa midomo yote inayosifusifu
Na ulimi unaojigamba kupindukia,+
-
Zaburi 63:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu.
Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*
Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.
-
-
-