-
1 Samweli 25:39Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
39 Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema: “Asifiwe Yehova, ambaye amenitetea+ baada ya kuaibishwa na Nabali,+ na amenizuia mimi mtumishi wake nisitende jambo lolote ovu,+ na Yehova amemwadhibu Nabali kwa sababu ya uovu wake!”* Kisha Daudi akawatuma wajumbe kwa Abigaili akiomba awe mke wake.
-
-
Zaburi 52:4, 5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Unapenda kila neno linalodhuru,
Ewe ulimi mdanganyifu!
-