Kumbukumbu la Torati 30:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Zaburi 37:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kwa maana waovu wataangamizwa,+Lakini wale wanaomtumaini Yehova wataimiliki dunia.+ Methali 2:21 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 21 Kwa maana ni wanyoofu tu watakaokaa duniani,Na wasio na lawama* ndio watakaobaki ndani yake.+ Mathayo 5:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+