Zaburi 52:5, 6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+Atakunyakua na kukurarua kutoka katika hema lako;+Atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ (Sela) 6 Waadilifu wataona jambo hilo na kujawa na woga,+Nao watamcheka.+
5 Ndiyo sababu Mungu atakubomoa milele na milele;+Atakunyakua na kukurarua kutoka katika hema lako;+Atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ (Sela) 6 Waadilifu wataona jambo hilo na kujawa na woga,+Nao watamcheka.+