2 Samweli 12:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ Zaburi 38:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Niliungama kosa langu;+Nilihangaishwa na dhambi yangu.+
9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+