Methali 25:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta,Ndivyo alivyo mtu asiyeweza kuidhibiti hasira yake.*+ Methali 29:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Mtu mpumbavu humwaga hisia zake zote,*+Lakini mwenye hekima huzizuia kwa utulivu.+ Mhubiri 7:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya