Zaburi 104:35 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 35 Watenda dhambi watatoweka duniani,Na waovu hawatakuwapo tena.+ Nafsi yangu na imsifu Yehova. Msifuni Yah!* Methali 10:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Kumbukumbu* ya mwadilifu itabarikiwa,+Lakini jina la mwovu litaoza.+ Mathayo 25:46 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 46 Hao watakatiliwa mbali milele,*+ lakini waadilifu watapata uzima wa milele.”+
35 Watenda dhambi watatoweka duniani,Na waovu hawatakuwapo tena.+ Nafsi yangu na imsifu Yehova. Msifuni Yah!*