-
Danieli 10:2, 3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Siku hizo, mimi, Danieli, nilikuwa nikiomboleza+ kwa majuma matatu kamili. 3 Sikula kamwe chakula kizuri, sikula nyama wala kunywa divai, nami sikujipaka kamwe mafuta kwa majuma matatu kamili.
-