Isaya 43:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Pia, mimi ni yuleyule sikuzote;+Na hakuna yeyote anayeweza kunyakua chochote kutoka mkononi mwangu.+ Ninapotenda, ni nani anayeweza kunizuia?”+ Isaya 46:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba. Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+
13 Pia, mimi ni yuleyule sikuzote;+Na hakuna yeyote anayeweza kunyakua chochote kutoka mkononi mwangu.+ Ninapotenda, ni nani anayeweza kunizuia?”+
4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba. Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+