Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 43
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Yehova awakusanya tena watu wake (1-7)

      • Miungu yashtakiwa (8-13)

        • “Ninyi ni mashahidi wangu” (10, 12)(10, 12)

      • Waachiliwa huru kutoka Babiloni (14-21)

      • “Tukutane ili tufanye kesi” (22-28)

Isaya 43:1

Marejeo

  • +Zb 100:3; Isa 43:15; 44:2, 21
  • +Isa 44:23; Yer 50:34

Isaya 43:2

Marejeo

  • +Kut 14:29
  • +Yos 3:15, 16; 2Fa 2:8

Isaya 43:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yako.”

Marejeo

  • +Kut 19:5, 6
  • +Kum 7:8; Yer 31:3

Isaya 43:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitaileta mbegu yako.”

Marejeo

  • +Isa 41:10; 44:2; Yer 30:10
  • +Kum 30:1-3; Zb 106:47; Isa 66:20; Eze 36:24; Mik 2:12; Zek 8:7

Isaya 43:6

Marejeo

  • +Yer 3:18
  • +Yer 31:8

Isaya 43:7

Marejeo

  • +Yer 33:16
  • +Zb 100:3; Isa 29:23

Isaya 43:8

Marejeo

  • +Isa 6:9, 10; 42:18, 19

Isaya 43:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda ni mambo yatakayotokea kwanza wakati ujao.

Marejeo

  • +Isa 41:1
  • +Isa 41:21, 22; 44:7
  • +1Fa 18:24, 25

Isaya 43:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na kunitumaini.”

Marejeo

  • +Mdo 1:8; Ufu 1:5
  • +Kum 4:37
  • +Isa 41:4
  • +Isa 44:8

Isaya 43:11

Marejeo

  • +Kum 6:4
  • +Isa 12:2; Ho. 13:4; 1Ti 2:3; Yud 25

Isaya 43:12

Marejeo

  • +Kum 32:12
  • +Isa 46:9, 10

Isaya 43:13

Marejeo

  • +Isa 41:4; Ufu 1:8
  • +Kum 32:39
  • +Isa 14:27; Da 4:35

Isaya 43:14

Marejeo

  • +Isa 44:6; 63:16
  • +Isa 54:5
  • +Isa 45:1, 2
  • +Yer 50:10

Isaya 43:15

Marejeo

  • +Zb 89:18
  • +Isa 43:1
  • +Kum 33:5; Zb 74:12; Isa 33:22; Ufu 11:17

Isaya 43:16

Marejeo

  • +Kut 14:16; Yos 3:13

Isaya 43:17

Marejeo

  • +Kut 15:4
  • +Yer 51:39

Isaya 43:19

Marejeo

  • +Isa 42:9
  • +Isa 11:16; 40:3
  • +Isa 41:18

Isaya 43:20

Marejeo

  • +Isa 41:17; Yer 31:9
  • +Zb 33:12; Isa 41:8; 1Pe 2:9

Isaya 43:21

Marejeo

  • +Isa 60:21

Isaya 43:22

Marejeo

  • +Isa 64:7
  • +Yer 2:5; Ho. 7:10; Mik 6:3

Isaya 43:23

Marejeo

  • +Isa 66:3

Isaya 43:24

Marejeo

  • +Law 3:14-16
  • +Isa 1:14, 15

Isaya 43:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matendo yako ya uasi.”

Marejeo

  • +Isa 1:18; Yer 50:20
  • +Zb 25:7; 79:8, 9; Eze 20:9
  • +Yer 31:34

Isaya 43:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda hawa ni walimu wa Sheria.

Marejeo

  • +Isa 28:7; Yer 5:31

Isaya 43:28

Marejeo

  • +Zb 79:4; 137:3

Jumla

Isa. 43:1Zb 100:3; Isa 43:15; 44:2, 21
Isa. 43:1Isa 44:23; Yer 50:34
Isa. 43:2Kut 14:29
Isa. 43:2Yos 3:15, 16; 2Fa 2:8
Isa. 43:4Kut 19:5, 6
Isa. 43:4Kum 7:8; Yer 31:3
Isa. 43:5Isa 41:10; 44:2; Yer 30:10
Isa. 43:5Kum 30:1-3; Zb 106:47; Isa 66:20; Eze 36:24; Mik 2:12; Zek 8:7
Isa. 43:6Yer 3:18
Isa. 43:6Yer 31:8
Isa. 43:7Yer 33:16
Isa. 43:7Zb 100:3; Isa 29:23
Isa. 43:8Isa 6:9, 10; 42:18, 19
Isa. 43:9Isa 41:1
Isa. 43:9Isa 41:21, 22; 44:7
Isa. 43:91Fa 18:24, 25
Isa. 43:10Mdo 1:8; Ufu 1:5
Isa. 43:10Kum 4:37
Isa. 43:10Isa 41:4
Isa. 43:10Isa 44:8
Isa. 43:11Kum 6:4
Isa. 43:11Isa 12:2; Ho. 13:4; 1Ti 2:3; Yud 25
Isa. 43:12Kum 32:12
Isa. 43:12Isa 46:9, 10
Isa. 43:13Isa 41:4; Ufu 1:8
Isa. 43:13Kum 32:39
Isa. 43:13Isa 14:27; Da 4:35
Isa. 43:14Isa 44:6; 63:16
Isa. 43:14Isa 54:5
Isa. 43:14Isa 45:1, 2
Isa. 43:14Yer 50:10
Isa. 43:15Zb 89:18
Isa. 43:15Isa 43:1
Isa. 43:15Kum 33:5; Zb 74:12; Isa 33:22; Ufu 11:17
Isa. 43:16Kut 14:16; Yos 3:13
Isa. 43:17Kut 15:4
Isa. 43:17Yer 51:39
Isa. 43:19Isa 42:9
Isa. 43:19Isa 11:16; 40:3
Isa. 43:19Isa 41:18
Isa. 43:20Isa 41:17; Yer 31:9
Isa. 43:20Zb 33:12; Isa 41:8; 1Pe 2:9
Isa. 43:21Isa 60:21
Isa. 43:22Isa 64:7
Isa. 43:22Yer 2:5; Ho. 7:10; Mik 6:3
Isa. 43:23Isa 66:3
Isa. 43:24Law 3:14-16
Isa. 43:24Isa 1:14, 15
Isa. 43:25Isa 1:18; Yer 50:20
Isa. 43:25Zb 25:7; 79:8, 9; Eze 20:9
Isa. 43:25Yer 31:34
Isa. 43:27Isa 28:7; Yer 5:31
Isa. 43:28Zb 79:4; 137:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 43:1-28

Isaya

43 Sasa hivi ndivyo anavyosema Yehova,

Muumba wako, Ee Yakobo, Yule aliyekuumba, Ee Israeli:+

“Usiogope, kwa maana nimekukomboa.+

Nimekuita kwa jina lako.

Wewe ni mali yangu.

 2 Unapopita katika maji, nitakuwa pamoja nawe,+

Na unapopita katika mito, haitafurika na kukufunika.+

Unapotembea katika moto, hutateketea,

Wala mwali wa moto hautakuunguza.

 3 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wako,

Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako.

Nimeitoa Misri kuwa fidia kwa ajili yako,

Ethiopia na Seba badala yako.

 4 Kwa sababu ulikuwa mwenye thamani machoni pangu,+

Uliheshimiwa, nami nimekupenda.+

Basi nitawatoa watu badala yako

Na mataifa badala ya uhai wako.*

 5 Usiogope, kwa maana nipo pamoja nawe.+

Nitauleta uzao wako* kutoka mashariki

Na kukukusanya kutoka magharibi.+

 6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’+

Na kusini, ‘Usiwazuie.

Walete wanangu kutoka mbali, na mabinti wangu kutoka kwenye miisho ya dunia,+

 7 Kila mtu anayeitwa kwa jina langu+

Na niliyemuumba kwa ajili ya utukufu wangu,

Ambaye nimemuumba na kumtokeza.’+

 8 Waleteni watu walio vipofu, ingawa wana macho,

Na walio viziwi, ingawa wana masikio.+

 9 Mataifa yote na yakusanyike mahali pamoja,

Na watu wakusanyike pamoja.+

Ni nani kati yao anayeweza kutangaza haya?

Au, je, wanaweza kutufanya tusikie mambo ya kwanza?*+

Na watoe mashahidi wao ili kuthibitisha kwamba wanasema ukweli,

Au acha wasikie na kusema, ‘Ni ukweli!’”+

10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,

“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+

Ili mjue na kuwa na imani kwangu*

Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+

Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,

Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+

11 Mimi—mimi ni Yehova,+ na zaidi yangu hakuna mwokozi.”+

12 “Mimi ndiye niliyetangaza na kuokoa na kujulisha

Kulipokuwa hakuna mungu wa kigeni miongoni mwenu.+

Basi ninyi ni mashahidi wangu,” asema Yehova, “nami ni Mungu.+

13 Pia, mimi ni yuleyule sikuzote;+

Na hakuna yeyote anayeweza kunyakua chochote kutoka mkononi mwangu.+

Ninapotenda, ni nani anayeweza kunizuia?”+

14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:

“Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+

Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+

15 Mimi ni Yehova, Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+

16 Yehova anasema hivi:

Yule anayetengeneza njia baharini

Na mahali pa kupita hata katika maji yenye msukosuko,+

17 Yule anayelivuta gari la vita na farasi,+

Jeshi pamoja na mashujaa hodari:

“Watalala chini na hawataamka.+

Watazimwa, watazimwa mara moja kama utambi unaowaka.”

18 “Msikumbuke mambo ya kwanza,

Wala msifikirie sana mambo ya zamani.

19 Tazameni! Ninatenda jambo jipya;+

Hata sasa linachipuka.

Je, hamlitambui?

Nitatengeneza njia nyikani+

Na mito jangwani.+

20 Mnyama wa mwituni ataniheshimu,

Mbwamwitu na mbuni,

Kwa maana ninatokeza maji nyikani,

Mito jangwani,+

Ili watu wangu wanywe, naam, mchaguliwa wangu,+

21 Watu niliojiumbia

Ili watangaze sifa zangu.+

22 Lakini hujaniita mimi, Ee Yakobo,+

Kwa sababu ulichoshwa nami, Ee Israeli.+

23 Hujaniletea kondoo kwa ajili ya dhabihu zako nzima za kuteketezwa

Wala kunitukuza kwa dhabihu zako.

Sijakulazimisha uniletee zawadi,

Wala sijakuchosha kwa kudai ubani.+

24 Hukuninunulia utete wenye manukato kwa pesa zako,

Wala hukuniridhisha kwa mafuta ya dhabihu zako.+

Badala yake, umenilemea kwa dhambi zako

Na kunichosha kwa maovu yako.+

25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+

Nami sitazikumbuka dhambi zako.+

26 Nikumbushe; na tukutane ili tufanye kesi;

Toa hoja zako ili kuthibitisha kwamba unasema ukweli.

27 Babu yako wa kwanza alitenda dhambi,

Na wasemaji* wako mwenyewe wameniasi.+

28 Kwa hiyo nitawatia unajisi wakuu wa mahali patakatifu,

Nami nitamtoa Yakobo aangamizwe

Na kumfanya Israeli atukanwe.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki