-
Yeremia 25:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Walikuwa wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja wenu kutoka katika njia zenu za uovu na matendo yenu maovu;+ nanyi mtaendelea kukaa kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu zamani.
-
-
Ezekieli 18:30Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
30 “‘Kwa hiyo, nitamhukumu kila mmoja wenu kulingana na njia zake,+ enyi watu wa nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Acheni, naam, acheni kabisa makosa yenu yote, ili yasiwe kikwazo kinachowaletea hatia.
-
-
Hosea 14:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+
Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.
-