Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Baba na wanawe waasi (1-9)

      • Yehova anachukia ibada ya kidesturi (10-17)

      • “Tunyooshe mambo kati yetu” (18-20)

      • Sayuni litakuwa jiji lenye uaminifu tena (21-31)

Isaya 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Wokovu wa Yehova.”

Marejeo

  • +2Nya 32:32
  • +2Nya 26:22; Isa 6:1
  • +2Nya 27:1, 2
  • +2Nya 28:1
  • +2Nya 29:1, 2; 32:20
  • +Mt 1:9

Isaya 1:2

Marejeo

  • +Zb 50:4
  • +Kum 1:31
  • +Kum 4:25, 26; Eze 20:8

Isaya 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hamjui bwana wake.”

Marejeo

  • +Ho. 4:6

Isaya 1:4

Marejeo

  • +Da 9:11
  • +Kum 31:16; Yer 2:5

Isaya 1:5

Marejeo

  • +Yer 5:3
  • +Ne 9:34, 35; Da 9:8

Isaya 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Havijafinywa; Havijatumbuliwa.”

Marejeo

  • +Lu 10:34

Isaya 1:7

Marejeo

  • +Kum 28:33, 63
  • +2Fa 18:11

Isaya 1:8

Marejeo

  • +2Fa 18:13, 14; Isa 8:7, 8

Isaya 1:9

Marejeo

  • +Mwa 19:24, 25; Kum 29:22, 23; Ro 9:29

Isaya 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watawala.”

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Mwa 13:13; Isa 3:8, 9
  • +Kum 32:32; Yud 7

Isaya 1:11

Marejeo

  • +1Sa 15:22; Met 15:8; Ho. 6:6; Mik 6:7
  • +Kut 29:38
  • +Law 3:14-16
  • +Law 17:11
  • +Law 4:18, 21
  • +Law 16:5

Isaya 1:12

Marejeo

  • +Kum 16:16
  • +Mhu 5:1; Mal 1:8

Isaya 1:13

Marejeo

  • +Met 21:27; Eze 8:11, 12
  • +Hes 28:11
  • +Kut 31:13
  • +Law 23:2
  • +Law 19:26

Isaya 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu imechukia.”

Isaya 1:15

Marejeo

  • +Met 15:29
  • +Mt 6:7
  • +Met 28:9; Isa 59:2; Omb 3:44
  • +Mik 3:2-4

Isaya 1:16

Marejeo

  • +Yer 4:14
  • +Isa 55:7

Isaya 1:17

Marejeo

  • +Mik 6:8
  • +Kum 10:18; Yer 22:3

Isaya 1:18

Marejeo

  • +Mik 6:2; Yak 4:8
  • +Zb 51:7; Isa 44:22; Mik 7:19

Isaya 1:19

Marejeo

  • +Kum 28:1, 2; Yoe 2:19

Isaya 1:20

Marejeo

  • +Law 26:33; Met 29:1

Isaya 1:21

Marejeo

  • +Zb 48:2
  • +Yer 2:20
  • +2Sa 8:15; 1Fa 3:28
  • +2Nya 19:9, 10
  • +Mik 3:1-3; Lu 13:34

Isaya 1:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pombe yako ya ngano.”

Marejeo

  • +Eze 22:18

Isaya 1:23

Marejeo

  • +Isa 3:14; Mik 3:9-11
  • +Kut 23:8
  • +Kut 22:22; Yer 5:28

Isaya 1:24

Marejeo

  • +Eze 5:13

Isaya 1:25

Marejeo

  • +Yer 6:29, 30; 9:7; Mal 3:3

Isaya 1:26

Marejeo

  • +Hes 12:3; 1Sa 12:1, 3; Isa 32:1; Eze 34:23
  • +Isa 62:1

Isaya 1:27

Marejeo

  • +Yer 31:11

Isaya 1:28

Marejeo

  • +Eze 20:38
  • +1Fa 9:6, 7

Isaya 1:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni miti na bustani zilizohusiana na ibada ya sanamu.

Marejeo

  • +Eze 6:13
  • +Isa 65:3; 66:17

Isaya 1:30

Marejeo

  • +Yer 17:5, 6

Isaya 1:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Nyuzi zinazoshika moto kwa urahisi ambazo zinafanana na kamba.

Jumla

Isa. 1:12Nya 32:32
Isa. 1:12Nya 26:22; Isa 6:1
Isa. 1:12Nya 27:1, 2
Isa. 1:12Nya 28:1
Isa. 1:12Nya 29:1, 2; 32:20
Isa. 1:1Mt 1:9
Isa. 1:2Zb 50:4
Isa. 1:2Kum 1:31
Isa. 1:2Kum 4:25, 26; Eze 20:8
Isa. 1:3Ho. 4:6
Isa. 1:4Da 9:11
Isa. 1:4Kum 31:16; Yer 2:5
Isa. 1:5Yer 5:3
Isa. 1:5Ne 9:34, 35; Da 9:8
Isa. 1:6Lu 10:34
Isa. 1:7Kum 28:33, 63
Isa. 1:72Fa 18:11
Isa. 1:82Fa 18:13, 14; Isa 8:7, 8
Isa. 1:9Mwa 19:24, 25; Kum 29:22, 23; Ro 9:29
Isa. 1:10Mwa 13:13; Isa 3:8, 9
Isa. 1:10Kum 32:32; Yud 7
Isa. 1:111Sa 15:22; Met 15:8; Ho. 6:6; Mik 6:7
Isa. 1:11Kut 29:38
Isa. 1:11Law 3:14-16
Isa. 1:11Law 17:11
Isa. 1:11Law 4:18, 21
Isa. 1:11Law 16:5
Isa. 1:12Kum 16:16
Isa. 1:12Mhu 5:1; Mal 1:8
Isa. 1:13Met 21:27; Eze 8:11, 12
Isa. 1:13Hes 28:11
Isa. 1:13Kut 31:13
Isa. 1:13Law 23:2
Isa. 1:13Law 19:26
Isa. 1:15Met 15:29
Isa. 1:15Mt 6:7
Isa. 1:15Met 28:9; Isa 59:2; Omb 3:44
Isa. 1:15Mik 3:2-4
Isa. 1:16Yer 4:14
Isa. 1:16Isa 55:7
Isa. 1:17Mik 6:8
Isa. 1:17Kum 10:18; Yer 22:3
Isa. 1:18Mik 6:2; Yak 4:8
Isa. 1:18Zb 51:7; Isa 44:22; Mik 7:19
Isa. 1:19Kum 28:1, 2; Yoe 2:19
Isa. 1:20Law 26:33; Met 29:1
Isa. 1:21Zb 48:2
Isa. 1:21Yer 2:20
Isa. 1:212Sa 8:15; 1Fa 3:28
Isa. 1:212Nya 19:9, 10
Isa. 1:21Mik 3:1-3; Lu 13:34
Isa. 1:22Eze 22:18
Isa. 1:23Isa 3:14; Mik 3:9-11
Isa. 1:23Kut 23:8
Isa. 1:23Kut 22:22; Yer 5:28
Isa. 1:24Eze 5:13
Isa. 1:25Yer 6:29, 30; 9:7; Mal 3:3
Isa. 1:26Hes 12:3; 1Sa 12:1, 3; Isa 32:1; Eze 34:23
Isa. 1:26Isa 62:1
Isa. 1:27Yer 31:11
Isa. 1:28Eze 20:38
Isa. 1:281Fa 9:6, 7
Isa. 1:29Eze 6:13
Isa. 1:29Isa 65:3; 66:17
Isa. 1:30Yer 17:5, 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 1:1-31

Isaya

1 Maono ambayo Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

 2 Sikieni, enyi mbingu, na usikilize, ewe dunia,+

Kwa maana Yehova amesema:

“Nimelea wana wakakua,+

Lakini wameniasi.+

 3 Ng’ombe anamjua vizuri aliyemnunua,

Na punda anaijua vizuri hori ya mmiliki wake;

Lakini Israeli hanijui,*+

Watu wangu mwenyewe hawatendi kwa uelewaji.”

 4 Ole kwa taifa lenye dhambi,+

Watu waliolemewa na dhambi,

Uzao wa watu waovu, watoto waliopotoka!

Wamemwacha Yehova;+

Wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli;

Wamemgeuzia migongo yao.

 5 Ni wapi mtakapopigwa tena kwa kuwa mnazidi kuasi?+

Kichwa chote ni kigonjwa,

Na moyo wote ni mgonjwa.+

 6 Kuanzia wayo wa mguu mpaka kichwani, hakuna sehemu yenye afya.

Kuna majeraha na michubuko na vidonda vilivyo wazi

—Havijatibiwa* wala kufungwa wala kulainishwa kwa mafuta.+

 7 Nchi yenu ni ukiwa.

Majiji yenu yameteketezwa kwa moto.

Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+

Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+

 8 Binti ya Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu,

Kama nyumba ya msonge katika shamba la matango,

Kama jiji lililozingirwa.+

 9 Kama Yehova wa majeshi hangetuachia waokokaji wachache,

Tungekuwa kama Sodoma,

Na tungefanana na Gomora.+

10 Sikieni neno la Yehova, enyi madikteta* wa Sodoma.+

Sikilizeni sheria* ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.+

11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.

“Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+

Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+

12 Mnapokuja kusimama mbele zangu,+

Ni nani ambaye amewataka mfanye hivyo,

Mzikanyage-kanyage nyua zangu?+

13 Acheni kuleta matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.

Uvumba wenu unanichukiza.+

Miezi mipya,+ sabato,+ kuita makusanyiko+

—Siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko lenu takatifu.

14 Nimechukia* miezi yenu mipya na sherehe zenu.

Zimekuwa mzigo kwangu;

Nimechoka kuzibeba.

15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

Ingawa mnatoa sala nyingi,+

Mimi sisikilizi;+

Mikono yenu imejaa damu.+

16 Jiosheni, jisafisheni;+

Ondoeni matendo yenu maovu mbele za macho yangu;

Acheni kutenda mabaya.+

17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+

Mrekebisheni mkandamizaji,

Teteeni haki za yatima,

Nanyi mteteeni mjane.”+

18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+

“Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,

Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+

Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,

Zitakuwa kama sufu.

19 Mkionyesha utayari na kusikiliza,

Mtakula vitu vyema vya nchi.+

20 Lakini mkikataa na kuasi,

Mtaliwa na upanga,+

Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”

21 Jinsi mji mwaminifu+ umekuwa kahaba!+

Ulikuwa umejaa haki;+

Uadilifu ulikuwa ukikaa ndani yake,+

Lakini sasa wauaji wanakaa ndani yake.+

22 Fedha yako imekuwa takataka,+

Na pombe yako* imechanganywa na maji.

23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+

Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+

Hawawatendei kwa haki mayatima,

Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+

24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi,

Mwenye Nguvu wa Israeli, anasema:

“Ah! Nitawaondoa wapinzani wangu,

Nami nitalipiza kisasi dhidi ya maadui wangu.+

25 Nitaugeuza mkono wangu dhidi yako,

Nitayeyusha takataka yako kama kwa sabuni,

Nami nitauondoa uchafu wako wote.+

26 Nitawarudisha waamuzi wenu kama mwanzoni

Na washauri wenu kama awali.+

Kisha wewe utaitwa Jiji la Uadilifu, Mji Mwaminifu.+

27 Sayuni atakombolewa kwa haki,+

Na watu wake wanaorudi, kwa uadilifu.

28 Waasi na watenda dhambi watavunjwa pamoja,+

Na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+

29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti mikubwa ambayo mlitamani,+

Nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani* ambazo mlichagua.+

30 Kwa maana mtakuwa kama mti mkubwa ambao majani yake yananyauka,+

Na kama bustani isiyo na maji.

31 Mwanamume mwenye nguvu atakuwa kitani,*

Na kazi yake itakuwa cheche ya moto;

Atateketea motoni pamoja na kazi yake,

Na hapatakuwa na yeyote wa kuwazima.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki