-
Yeremia 42:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 kwa kusema: “Hapana, badala yake tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambako hatutaona vita wala kusikia sauti ya pembe wala kuwa na njaa kwa kukosa mkate; huko ndiko tutakakoishi,”
-
-
Yeremia 43:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Nao wakaingia nchini Misri, kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova, wakaenda mpaka Tahpanhesi.+
-