-
Isaya 34:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Yehova ana upanga; utafunikwa kwa damu.
Kwa maana Yehova ana dhabihu kule Bosra,
Machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+
-
-
Yeremia 49:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Siku hiyo moyo wa mashujaa wa Edomu
Utakuwa kama moyo wa mwanamke anayezaa.”
-