Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  6 Yehova ana upanga; utafunikwa kwa damu.

      Utafunikwa kwa mafuta,+

      Kwa damu ya wanakondoo dume na mbuzi,

      Kwa mafuta ya figo za kondoo dume.

      Kwa maana Yehova ana dhabihu kule Bosra,

      Machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

  • Isaya 63:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+

      Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*

      Huyu aliye na mavazi ya kifahari,

      Anayetembea kwa nguvu zake nyingi?

      “Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,

      Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”

  • Yeremia 49:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Tazameni! Atateremka na kushuka kwa ghafla kama tai,+

      Naye atanyoosha mabawa yake juu ya Bosra.+

      Siku hiyo moyo wa mashujaa wa Edomu

      Utakuwa kama moyo wa mwanamke anayezaa.”

  • Amosi 1:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Basi nitaishushia moto Temani,+

      Nao utateketeza kabisa minara ya Bosra yenye ngome.’+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki