2 Mambo ya Nyakati 36:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+ Yeremia 6:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+ “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja. Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+
17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+
11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+ “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja. Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+