-
Zaburi 30:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+
-
-
Zaburi 103:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,
Ndivyo upendo wake mshikamanifu ulivyo mkubwa kuelekea wale wanaomwogopa.+
-
-
Isaya 54:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 “Kwa maana nilikuacha kwa muda mfupi,
Lakini nitakukusanya tena kwa rehema nyingi.+
-