Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Nafsi yangu na imsifu Yehova”

        • Mungu huweka dhambi zetu mbali sana (12)

        • Mungu huonyesha rehema kama baba (13)

        • Mungu hukumbuka kwamba sisi ni mavumbi (14)

        • Kiti cha ufalme cha Yehova na ufalme wake (19)

        • Malaika hutekeleza neno la Mungu (20)

Zaburi 103:2

Marejeo

  • +Kum 8:2; Zb 105:5

Zaburi 103:3

Marejeo

  • +2Sa 12:13; Isa 43:25
  • +Kut 15:26; Zb 41:3; 147:3; Isa 33:24; Yak 5:15; Ufu 21:4

Zaburi 103:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kaburini.”

Marejeo

  • +Zb 56:13
  • +Mik 7:18

Zaburi 103:5

Marejeo

  • +Zb 23:5; 65:4
  • +Zb 51:12; Isa 40:31

Zaburi 103:6

Marejeo

  • +Zb 9:8
  • +Zb 12:5; Met 22:22, 23; Yak 5:4

Zaburi 103:7

Marejeo

  • +Kut 24:4; Hes 12:8
  • +Zb 147:19

Zaburi 103:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

  • *

    Au “fadhili nyingi zenye upendo.”

Marejeo

  • +Isa 55:7; Yak 5:11
  • +Kut 34:6; Yoe 2:13; Yon 4:2

Zaburi 103:9

Marejeo

  • +Zb 30:5
  • +Isa 57:16

Zaburi 103:10

Marejeo

  • +Ne 9:31
  • +Ezr 9:13; Zb 130:3; Isa 55:7

Zaburi 103:11

Marejeo

  • +Zb 103:17; Isa 55:9

Zaburi 103:12

Marejeo

  • +Law 16:21, 22; Isa 43:25; Yer 31:34

Zaburi 103:13

Marejeo

  • +Zb 78:38; Isa 49:15; Mal 3:17; Yak 5:15

Zaburi 103:14

Marejeo

  • +Zb 78:39
  • +Mwa 2:7

Zaburi 103:15

Marejeo

  • +Zb 90:5, 6; 1Pe 1:24
  • +Ayu 14:1, 2

Zaburi 103:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na mahali pake hapalijui tena.”

Zaburi 103:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu milele hadi milele.”

Marejeo

  • +Lu 1:50
  • +Kut 20:6

Zaburi 103:18

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 7:9; Zb 25:10

Zaburi 103:19

Marejeo

  • +2Nya 20:6; Isa 66:1
  • +Zb 47:2; 145:13; Da 4:25

Zaburi 103:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkiisikia sauti ya neno lake.”

Marejeo

  • +Da 7:10
  • +2Fa 19:35; Lu 1:19

Zaburi 103:21

Marejeo

  • +1Fa 22:19; Zb 148:2; Lu 2:13, 14
  • +Mt 13:41; Ebr 1:7

Zaburi 103:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kila mahali pa enzi yake kuu.”

Jumla

Zab. 103:2Kum 8:2; Zb 105:5
Zab. 103:32Sa 12:13; Isa 43:25
Zab. 103:3Kut 15:26; Zb 41:3; 147:3; Isa 33:24; Yak 5:15; Ufu 21:4
Zab. 103:4Zb 56:13
Zab. 103:4Mik 7:18
Zab. 103:5Zb 23:5; 65:4
Zab. 103:5Zb 51:12; Isa 40:31
Zab. 103:6Zb 9:8
Zab. 103:6Zb 12:5; Met 22:22, 23; Yak 5:4
Zab. 103:7Kut 24:4; Hes 12:8
Zab. 103:7Zb 147:19
Zab. 103:8Isa 55:7; Yak 5:11
Zab. 103:8Kut 34:6; Yoe 2:13; Yon 4:2
Zab. 103:9Zb 30:5
Zab. 103:9Isa 57:16
Zab. 103:10Ne 9:31
Zab. 103:10Ezr 9:13; Zb 130:3; Isa 55:7
Zab. 103:11Zb 103:17; Isa 55:9
Zab. 103:12Law 16:21, 22; Isa 43:25; Yer 31:34
Zab. 103:13Zb 78:38; Isa 49:15; Mal 3:17; Yak 5:15
Zab. 103:14Zb 78:39
Zab. 103:14Mwa 2:7
Zab. 103:15Zb 90:5, 6; 1Pe 1:24
Zab. 103:15Ayu 14:1, 2
Zab. 103:17Lu 1:50
Zab. 103:17Kut 20:6
Zab. 103:18Kut 19:5; Kum 7:9; Zb 25:10
Zab. 103:192Nya 20:6; Isa 66:1
Zab. 103:19Zb 47:2; 145:13; Da 4:25
Zab. 103:20Da 7:10
Zab. 103:202Fa 19:35; Lu 1:19
Zab. 103:211Fa 22:19; Zb 148:2; Lu 2:13, 14
Zab. 103:21Mt 13:41; Ebr 1:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 103:1-22

Zaburi

Wa Daudi.

103 Nafsi yangu na imsifu Yehova;

Kila kitu kilicho ndani yangu na kilisifu jina lake takatifu.

 2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;

Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+

 3 Husamehe makosa yako yote+

Na kuyaponya magonjwa yako yote;+

 4 Huukomboa uhai wako kutoka shimoni*+

Na kukuvika taji la upendo wake mshikamanifu na rehema.+

 5 Hukushibisha kwa vitu vyema+ maisha yako yote,

Hivi kwamba ujana wako unarudishwa upya kama ule wa tai.+

 6 Yehova hutenda kwa uadilifu+ na haki

Kwa ajili ya wote wanaokandamizwa.+

 7 Alimjulisha Musa njia zake,+

Na wana wa Israeli matendo yake.+

 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+

Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+

 9 Hatatafuta makosa sikuzote,+

Wala hataendelea kuwa na hasira milele.+

10 Hajatutendea kulingana na dhambi zetu,+

Wala hajatupa adhabu tuliyostahili kulingana na makosa yetu.+

11 Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

Ndivyo upendo wake mshikamanifu ulivyo mkubwa kuelekea wale wanaomwogopa.+

12 Kama mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,

Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali sana na sisi.+

13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,

Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

14 Kwa maana anajua vema umbo letu,+

Akikumbuka kwamba sisi ni mavumbi.+

15 Siku za mwanadamu anayeweza kufa ni kama za majani;+

Yeye huchanua kama ua la shambani.+

16 Lakini upepo unapovuma, linatoweka,

Kana kwamba halikuwahi kuwepo.*

17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*

Kuelekea wale wanaomwogopa,+

Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+

18 Kuelekea wale wanaolishika agano lake+

Na wale walio waangalifu ili kuyashika maagizo yake.

19 Yehova amekiimarisha kabisa kiti chake cha ufalme mbinguni;+

Nao ufalme wake unatawala kila kitu.+

20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,

Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.*

21 Msifuni Yehova, enyi majeshi yake yote,+

Ninyi wahudumu wake mnaofanya mapenzi yake.+

22 Msifuni Yehova, kazi zake zote,

Kila mahali anapotawala.*

Nafsi yangu yote na imsifu Yehova.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki