Zaburi 139:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Hata giza halitakuwa zito mno kwako,Lakini usiku utakuwa mwangavu kama mchana;+Kwako giza ni sawa na nuru.+ Waebrania 4:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+
12 Hata giza halitakuwa zito mno kwako,Lakini usiku utakuwa mwangavu kama mchana;+Kwako giza ni sawa na nuru.+
13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+