Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:46
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+

  • Yohana 2:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Baada ya hayo, Yesu, mama yake, ndugu zake,+ na wanafunzi wake wakashuka kwenda Kapernaumu,+ lakini hawakukaa huko siku nyingi.

  • Matendo 1:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+

  • 1 Wakorintho 9:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Sisi tuna haki ya kuambatana na mke ambaye ni mwamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,*+ sivyo?

  • Wagalatia 1:19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 19 Lakini sikuwaona wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki