Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:55
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda?+

  • Marko 3:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Mama yake na ndugu zake+ wakaja na kusimama nje, wakamtuma mtu akamwite.+

  • Luka 8:19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, lakini hawakuweza kumfikia Yesu kwa sababu ya umati.+

  • Matendo 1:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Wote hawa walidumu katika sala kwa kusudi moja, wakiwa pamoja na wanawake+ fulani na Maria mama ya Yesu, pamoja na ndugu za Yesu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki