-
Luka 3:16, 17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Yohana akawajibu: “Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye nguvu kuliko mimi, ambaye sistahili kufungua kamba za viatu vyake.+ Yeye atawabatiza kwa roho takatifu na moto.+ 17 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake ili kuusafisha kabisa uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano katika ghala lake, lakini atayateketeza makapi kwa moto usioweza kuzimwa.”
-