-
Mathayo 3:11, 12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha kabisa uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala, lakini atayateketeza makapi kwa moto+ usioweza kuzimwa.”
-
-
Matendo 2:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale.
-