Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:11, 12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha kabisa uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala, lakini atayateketeza makapi kwa moto+ usioweza kuzimwa.”

  • Marko 1:7, 8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Naye alihubiri akisema: “Baada yangu, kuna mtu mwenye nguvu kuliko mimi anayekuja, nami sistahili kuinama ili kufungua kamba za viatu vyake.+ 8 Niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho takatifu.”+

  • Matendo 2:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale.

  • Matendo 2:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 wote wakajazwa roho takatifu,+ wakaanza kusema katika lugha* mbalimbali, kama roho ilivyowawezesha kusema.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki