26 Isitoshe, kama ilivyokuwa katika siku za Noa,+ ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa binadamu:+ 27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa aliingia ndani ya safina,+ na Gharika ikaja na kuwaangamiza wote.+