Zaburi 45:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Una sura nzuri kuliko wanadamu wote. Maneno yenye fadhili hutiririka kutoka katika midomo yako.+ Ndiyo sababu Mungu amekubariki milele.+ Isaya 50:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+
2 Una sura nzuri kuliko wanadamu wote. Maneno yenye fadhili hutiririka kutoka katika midomo yako.+ Ndiyo sababu Mungu amekubariki milele.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+