-
Luka 8:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 Alipomwona Yesu, akapaza kilio na kuanguka chini mbele yake, akasema kwa sauti kubwa: “Kwa nini unanisumbua, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi? Ninakuomba, usinitese.”+
-
-
Yakobo 2:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Wewe unaamini kuna Mungu mmoja, sivyo? Unafanya vema. Hata hivyo, roho waovu pia wanaamini na kutetemeka.+
-