Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Na tazama! wakapiga mayowe wakisema: “Kwa nini unatusumbua, Mwana wa Mungu?+ Je, umekuja kututesa+ kabla ya wakati uliowekwa?”+

  • Luka 4:41
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 41 Roho waovu pia wakawatoka watu wengi, wakipaza sauti na kusema: “Wewe ndiye Mwana wa Mungu.”+ Lakini aliwakemea na hakuwaruhusu waseme,+ kwa maana walijua yeye ni Kristo.+

  • Luka 8:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 28 Alipomwona Yesu, akapaza kilio na kuanguka chini mbele yake, akasema kwa sauti kubwa: “Kwa nini unanisumbua, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi? Ninakuomba, usinitese.”+

  • Yakobo 2:19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 19 Wewe unaamini kuna Mungu mmoja, sivyo? Unafanya vema. Hata hivyo, roho waovu pia wanaamini na kutetemeka.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki