Matendo 7:59, 60 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo. Waroma 12:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki msiwe mkilaani.+
59 Walipokuwa wakimpiga mawe Stefano, akaomba hivi: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo.