Mwanzo 17:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 “Nami nitalishika agano langu nililofanya pamoja nawe+ na uzao wako* baada yako katika vizazi vyao vyote; hili ni agano la milele, ili niwe Mungu wako na Mungu wa uzao wako* baada yako. Mambo ya Walawi 26:42 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 42 Nitakumbuka agano langu na Yakobo,+ na agano langu na Isaka,+ na pia agano langu na Abrahamu,+ nami nitaikumbuka nchi yao. Zaburi 106:45, 46 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+ 46 Alikuwa akisababisha wahurumiweNa wote waliowachukua mateka.+
7 “Nami nitalishika agano langu nililofanya pamoja nawe+ na uzao wako* baada yako katika vizazi vyao vyote; hili ni agano la milele, ili niwe Mungu wako na Mungu wa uzao wako* baada yako.
42 Nitakumbuka agano langu na Yakobo,+ na agano langu na Isaka,+ na pia agano langu na Abrahamu,+ nami nitaikumbuka nchi yao.
45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+ 46 Alikuwa akisababisha wahurumiweNa wote waliowachukua mateka.+