-
Mathayo 27:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Ilipofika asubuhi, wakuu wote wa makuhani na wazee wa watu wakashauriana pamoja kumhusu Yesu ili auawe.+
-
-
Marko 15:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Mara tu kulipopambazuka wakuu wa makuhani, wazee, na waandishi, yaani, Sanhedrini yote, wakashauriana pamoja na kumfunga Yesu, kisha wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.+
-