-
Yohana 16:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 pia kuhusu hukumu, kwa sababu mtawala wa ulimwengu huu amehukumiwa.+
-
-
Matendo 26:17, 18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Nami nitakuokoa kutoka kwa watu hawa na kutoka kwa mataifa ambayo ninakutuma kwao+ 18 ili kuwafungua macho,+ kuwageuza watoke gizani+ waingie kwenye nuru+ na watoke kwenye mamlaka ya Shetani+ wamgeukie Mungu, ili wasamehewe dhambi zao+ na kupata urithi miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’
-