Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 14:30
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 30 Sitasema nanyi tena mambo mengi, kwa maana mtawala wa ulimwengu+ anakuja, naye hana uwezo juu yangu.*+

  • Yohana 16:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 pia kuhusu hukumu, kwa sababu mtawala wa ulimwengu huu amehukumiwa.+

  • Matendo 26:17, 18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Nami nitakuokoa kutoka kwa watu hawa na kutoka kwa mataifa ambayo ninakutuma kwao+ 18 ili kuwafungua macho,+ kuwageuza watoke gizani+ waingie kwenye nuru+ na watoke kwenye mamlaka ya Shetani+ wamgeukie Mungu, ili wasamehewe dhambi zao+ na kupata urithi miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’

  • 2 Wakorintho 4:3, 4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa kwa kitambaa, imefunikwa kati ya wale wanaoangamia, 4 ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo*+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru ya* habari njema yenye utukufu kuhusu Kristo, aliye mfano wa Mungu,+ isiwaangazie.+

  • Waefeso 2:1, 2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Zaidi ya hayo, Mungu aliwafanya muwe hai, ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo* wa ulimwengu huu,+ kulingana na mtawala wa mamlaka ya hewa,+ roho+ ambayo sasa inafanya kazi katika wana wa kutotii.

  • 1 Yohana 5:19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki