Isaya 6:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni. Isaya 6:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Kisha nikasikia sauti ya Yehova ikiuliza: “Nimtume nani, na ni nani atakayeenda kwa ajili yetu?”+ Nami nikasema: “Mimi hapa! Nitume mimi!”+
6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.
8 Kisha nikasikia sauti ya Yehova ikiuliza: “Nimtume nani, na ni nani atakayeenda kwa ajili yetu?”+ Nami nikasema: “Mimi hapa! Nitume mimi!”+