Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 1:12, 13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Hata hivyo, wale wote waliompokea, aliwapa mamlaka ya kuwa watoto wa Mungu,+ kwa sababu walikuwa na imani* katika jina lake.+ 13 Nao hawakuzaliwa kutokana na damu, wala mapenzi ya mwili au mapenzi ya mwanadamu, bali kutokana na Mungu.+

  • 1 Petro 1:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Asifiwe Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwa maana kulingana na rehema yake kubwa alituzaa sisi upya+ kwenye tumaini lililo hai+ kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,+

  • 1 Petro 1:23
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu* yenye kuharibika, bali kupitia ile isiyoharibika,+ kupitia neno la Mungu aliye hai na anayedumu.+

  • 1 Yohana 3:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Kila mtu ambaye amezaliwa kutokana na Mungu haendelei kufanya dhambi,+ kwa sababu mbegu* Yake hukaa ndani ya mtu huyo, naye hawezi kuendelea kufanya dhambi, kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki